Featured

Latest Update

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI KUFANIKISHA CHANJO BORA

Chanjo mbalimbali za kukinga magonjwa zina utaratibu wake kitaalamu, kama namna ya utunzaji na  namna kuwapa kuku. Zifuatazo ni ...

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI KUFANIKISHA CHANJO BORA

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA ILI KUFANIKISHA CHANJO BORA

Chanjo mbalimbali za kukinga magonjwa zina utaratibu wake kitaalamu, kama namna ya utunzaji na namna kuwapa kuku. Zifuatazo ni dondoo muhimu za kufahamu ili chanjo yako ifanikiwe;1. Ukihifadhi chanjo yako hovyo hovyo bila kufwata maelekezo ya kitaalamu, chanjo hiyo inakua Sumu badala ya kuwa...

Read More

NG’OMBE WA MAZIWA AINA YA GUERNSEY

NG’OMBE WA MAZIWA AINA YA GUERNSEY

HistoriaGuernsey ilianzia kwenye Kisiwa kidogo cha Guernsey, kilicho katika Idhaa ya Kiingereza karibu na pwani ya Ufaransa. Hakuna uthibitisho thabiti kuhusu maendeleo ya Guernsey kabla ya Karne ya 19 lakini kunaweza kuwa na ukweli fulani katika nadharia kwamba ng'ombe wa Isigny wa Normandy...

Read More

FAHAMU(Coccidiosis) Kuhara Damu KWA KUKU DALILI NA JINSI YA KUTIBU

FAHAMU(Coccidiosis) Kuhara Damu KWA KUKU DALILI NA JINSI YA KUTIBU

⚠️ Ugonjwa huu Ni ugonjwa unaosababishwa na Protozoa ambao hushambulia kuku na wanyama wengine. Ugonjwa huathiri kuku wadogo na wakubwa.🔺Jinsi Ugonjwa Unavyoenea🔹 Maambukizi huenea kupitia kinyesi cha kuku wagonjwa kuchafua maji na chakula, udongo na maranda.🔹 Njia kuu ya maambukizi ni kupitia chakula...

Read More

FAIDA NA UMUHIMU WA VITAMIN KWA KUKU🐓

FAIDA NA UMUHIMU WA VITAMIN KWA KUKU🐓

UKOSEFU  wa VITAMIN kwa Kuku au Upungufu wa VITAMIN hujionyesha kwa namna tofauti katika miili ya kuku, na kila dalili huashiri upungufu wa vitamin.📌 UMUHIMU WA VITAMINI.– Husaidia katika ukuaji wa kuku.– Humfanya kuku muda wote kuwa amechangamka.– Husaidia kuku kuwa mwenye...

Read More

MAMBO 7 YA KUZINGATIA KATIKA ULEAJI WA VIFARANGA

MAMBO 7 YA KUZINGATIA KATIKA ULEAJI WA VIFARANGA

UTANGULIZIImekuwa changamoto sana kwa wafugaji wengi. Na mara nyingi kwa wale wanaoanza ufugaji, ufikia hatua hadi kukata tamaa. Wakina mama wamekuwa waleaji wazuri sana wa vifaranga. Kwa sababu, wamejifunza tabia ya kuangalia hali ya mtoto wake kila saa. Na vifaranga wanahitaji uangalizi wa...

Read More

UFUGAJI NA UANGALIZI WA KWARE 🐥

UFUGAJI NA UANGALIZI WA KWARE  🐥

*UFUGAJI WA KWARE :* Sehemu ya Kwanza: Utayarishaji wa banda, Utagaji na uatamiaji mayai, utunzaji vifaranga, uleaji wa vifaranga magonjwa, tiba na kinga. 🔹UTANGULIZI: Kware ni ndege mdogo mwenye asili ya toka huko Japan. Wakiwa mwituni kware ni ndege wanaohama hama na kuishi mashambani....

Read More
Page 1 of 6123»